Font Size
Luka 19:45-46
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 19:45-46
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Asafisha Eneo la Hekalu
(Mt 21:12-17; Mk 11:15-19; Yh 2:13-22)
45 Yesu aliingia katika eneo la Hekalu. Akaanza kuwafukuza watu waliokuwa wanauza vitu humo. 46 Akasema, “Maandiko yanasema, ‘Hekalu langu litakuwa nyumba ya sala.’(A) Lakini mmeligeuza kuwa ‘maficho ya wezi.’”(B)
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International