Font Size
Mathayo 13:34-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 13:34-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
34 Yesu alitumia simulizi akasema mambo yote haya kwa watu. Daima alitumia simulizi kuwafundisha. 35 Hii ilikuwa kuweka wazi maana halisi kama manabii walivyosema:
“Nitazungumza kwa kutumia simulizi;
Nitayasema mambo ambayo yamekuwa siri
tangu ulimwengu ulipoumbwa.”(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International