Font Size
Mathayo 26:1-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:1-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mpango wa Kumwua Yesu
(Mk 14:1-2; Lk 22:1-2; Yh 11:45-53)
26 Yesu alipomaliza akasema haya yote, akawaambia wafuasi wake, 2 “Mnajua kuwa kesho kutwa ni Pasaka. Siku hiyo Mwana wa Adamu atakabidhiwa kwa maadui zake ili auawe msalabani.”
3 Ndipo viongozi wa makuhani na wazee walikutana katika nyumba ya Kayafa kuhani mkuu. 4 Katika mkutano huo walitafuta njia ya kumkamata na kumwua Yesu kwa siri pasipo mtu yeyote kujua. 5 Wakasema, “Hatuwezi kumkamata Yesu wakati wa sherehe ya Pasaka. Hatutaki watu wakasirike na kusababisha vurugu.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International